Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe
Mbunge wa Kawe Halima Mdee (kulia), akionesha alama ya mbili inayotumiwa na Chadema wakati akisindikizwa na polisi(Picha sio ya tukio la Jana).
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack.
Wanariadha wakichuana katika michuano ya taifa ya riadha iliyoanza hii leo jijini Dar es salaam