Mabondia Ibrahim Tambwe kushoto na Said Mbelwa kulia wakitunishiana misuli.
Bondia Said Mbelwa akijifua kujiandaa na mpambano wake dhidi ya Ibrahim Tamba.
Golikipa wa Singida FG amefungiwa michezo 3 na faini ya shilingi milioni 1 kwa kosa la kuwafanyia vurugu Coastal Union
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.