Nahodha wa stars Mbwana Ally Samata akiambaambaa na mpira jana wakati akiiongoza timu hiyo kwa mara ya kwanza dhidi ya Chad.
Bob Junior
Nembo ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.
Bondia Mfaume Mfaume kulia wa mabibo Nakozi gym Dar es Salaam akipambana na Cosmas Cheka wa Morogoro.
Wachezaji wa Twiga Stars wakiwa katika mazoezi.