Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu na Bunge; Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Bi. Jenista Mhagama akiwa na Naibu wake Dkt. Abdallah Posi
Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga
Jerry William Silaa, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, kwenye maadhimisho miaka 30 ya CRDB