Zlatan Ibrahimovic akiruka hewani kujaribu kufunga dhidi ya Ubelgiji.
Kocha Zinedine Zidane akiteta jambo na Ronaldo katika moja ya michezo ya timu yao.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.