Mkurugenzi wa asasi ya kimataifa inayotetea haki kwa walamavu wa ngozi tawi la Tanzania Bi. Vicky Ntetema.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.