Katibu mkuu Wizara ya Fedha na Uchumi Dkt Servacius Likwelile (kulia) akisaini moja ya makubaliano na balozi wa Jumuiya ya Ulaya nchini Tanzania Filberto Sebregondi.
Katibu Mkuu wa Yanga Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga
Frank Domayo akisaini mkataba na klabu ya Azam