Francis Miyeyusho akiwa hoi baada ya kupigwa kwa TKO na Sukkassem Kietyongyuth wa Thailand. Hii ilikuwa April 19 mwaka huu katika ukumbi wa PTA-Sabasaba. Pambano hilo halikuwa la ubingwa.
Jerry William Silaa, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, kwenye maadhimisho miaka 30 ya CRDB
Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga