Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Uchumi nchini Tanzania (kulia) Dkt Servacius Likwelile akiwa na mwakilishi wa Umoja wa Ulaya nchini Balozi Filberto Sebregondi.
Mpanzua na viongozi wa Simba
Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Crescentius Magori na Inno Loemba
Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka