Miili pamoja na mizigo ya waliokuwa abiria wa meli ya MV Spice Islander iliyopata ajali na kuzama kwenye mkondoi wa Nungwi mwaka 2011 ikionekana ikielea kwenye maji.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.