Afisa Masoko na Elimu kwa Umma wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama Bw. Rajab Mwenda (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari hivi karibuni.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013