Mwenyekiti wa Kamati ya ufundi inayoshughulikia Oganaizesheni ya mikutano ya Umoja wa Katiba ya Wananchi nchini Tanzania (UKAWA), Bw. Singo Benson Kigaila.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.