Mwenyekiti wa baraza la wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA nchini Tanzania Mh. Halima Mdee.
Kocha mkuu wa Stars Mkwasa akizungumza na waandishi wa habari
Henderson akibusu kombe la EPL
Makamu wa Rais Dk Philip Mpango (wa pili kulia) akikabidhi tuzo maalum kwa Meneja Mkuu wa Kampuni ya kuzalisha na kusambaza nishati ya gesi ya nyumbani ya Taifa Gas Limited, Devis Deogratius (kushoto).