Mkuu wa Mawasiliano Serikalini katika Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud kushoto akisisitiza Jambo katika mkutano na Waandishi wa Habari.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.