Wakina mama wajasiriamali wakiwa wanauza Korosho katika kituo kikubwa cha mabasi yaendayo Mikoani Mkoani Lindi
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Bw. Abdulrahman Kinana.
Riderman akiwa katika pozi
Naibu Afisa Mtendaji Mkuu wa Deloitte Kanda ya Afrika Mashariki Bw. Joe Eshun.
Afande Sele
Mkuu wa MICT tawi la Arusha Bw. Samuel Akorimo, akisalimiana Balozi Irene Kasyanju.