Elias Ngorisa, katibu wa fedha na uchumi wa CCM Wilaya ya Ngorongoro pamoja na madiwani kadhaa wamejiunga CHADEMA na kupokelewa na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari
Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza jambo na Mkandarasi wa mradi a ujenzi wa vivuko Songoro Marine ambapo atoa maagizo mardi ukamilike kwa wakati.