Mwanadada Serena Willams akishangilia baada ya kushinda fainali ya Wimbledon.
Baadhi ya wachezaji wakichuana katika moja ya mashindano ya vilabu.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.