Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Alfred Msovella akimuongoza aliekua Mkuu wa Mkoa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi wakati akikagua ujenzi wa ndani wa nyumba za shirika la nyumba .
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.