Kikosi cha timu ya soka ya Azam fc kikiwa katika uwanja wake wa nyumbani wa Azam Complex Chamazi.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.