Rais Paul Kagame wa Rwanda, akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania, wakati kiongozi huyo alipowasili kwa ajili ya mkutano wa wakuu wa nchi zinazounda ukanda wa maendeleo wa kati jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk
Mabasi katika kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo kama yanavyoonekana pichani kufuatia mgomo wa madeereva nchi nzima.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli,
Moja ya mashamba ya mpunga yanayotumia kilimo cha umwagiliaji