Meneja Mipango na Biashara wa Soko la Hisa la Dar es Salaam DSE, Bw. Patrick Mususa.
Meneja Fedha na Utafiti wa DSE Mshindo Ibrahimu.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.