Wazee mbalimbali wa chama na wastaafu wakiwa katika ukumbi huo ili wakimsikiliza Rais.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.