Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Prudenciana Protas akizungumza na waandishi hawapo pichani.
Baadhi ya madiwani wa halmashauri ya Mji wa Njombe wakiwa kwenye kikao cha baraza hilo hivi karibuni.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.