Mfungaji wa bao la pili la Serengeti Boys, Ibrahim Abdallah akishangilia goli hilo.
Kikosi cha timu ya soka ya Serengeti Boys.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016