Spika wa Zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pius Msekwa akiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Hussein Mwinyi.
Katibu wa jukwaa la wahiriri Tanzania Neville Meena.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.