Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Ernest Mangu
Mbunge wa Arusha na waziri kivuli wa mambo ya ndani ya nchi, Godbless Lema.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.