Mtalamu wa vifukofuko kuto Tanga Ladislaus Ng'ingo akitoa elimu jinsi ya kuhifahi mahindi.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.