Mkurugenzi wa Miradi wa TASAF Bw. Amadeus Kamagenge akielezea manufaa ya mpango unaotoa fursa ya ajira kwa walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini PSSN.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016