Katibu mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii nchini Tanzania Dkt. Donald Mbando.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.