Afisa habari wa Shirika la viwango Tanzania - TBS Bi. Roida Andusamile (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari MAELEZO hivi karibuni.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.