Umati wa wanachama wa klabu ya soka ya Yanga wakiwa katika moja ya mikutano ya klabu hiyo.
Timu zilizoshiriki hatua ya mchujo ambapo Dream Chaser waliovalia jezi nyeusi wakipambana na Temeke Heroes (nyeupe)
Mbwana Samatta (kushoto) na wachezaji wa Uganda (kulia).