Wachezaji wa timu ya Kriketi ya Tanzania chini ya miaka 19.

21 Jun . 2016

Wachezaji wa timu ya tenisi ya walemavu ya Tanzania wakipeana mikono baada ya mchezo wao.

2 Jun . 2016

Kikosi cha wagonga nyundo wa Jiji la Mbeya timu ya soka ya Mbeya City.

21 Mei . 2016

Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajib akiwa katika uwanja wa mazoezi wa timu ya Golden Arrows ya Afrika Kusini.

13 Mei . 2016

Timu ya RollBall ya Tanzania [wenye Blue] wakichuana na Kenya katika moja ya michuano ya kimataifa ya mchezo huo.

31 Mar . 2016

Stars waliotangulia wakijifua wakiwa na nahodha mpya wa timu hiyo Mbwana Samata kushoto.

22 Mar . 2016

Bondia Said Mbelwa akijifua kujiandaa na mpambano wake dhidi ya Ibrahim Tamba.

14 Mar . 2016

Wachezaji wa Tanzania Mbwana Samata na Tomas Ulimwengu wanataraji kuja nchini na timu yao ya TP Mazembe ya Congo DR.

9 Aug . 2015

Kikosi cha timu ya soka ya taifa ya Tanzania [Taifa Stars]

10 Nov . 2014

mabondia Mada Maugo kushoto na Thomas Mashali kulia wakiwa na rais wa TPBO Yasin Abdallah 'ustaadhi'

2 Aug . 2014