Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi wakifanya mazoezi.
Viongozi wa kamati ya ufundi ya Mbeya City wakionyeshana baadhi ya vijana waliokuja kusaka nafasi katika timu hiyo.
Kikosi cha Serenget Boys
Mpanzua na viongozi wa Simba
Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka
Mwenyekiti wa Bodi ya Simba Crescentius Magori na Inno Loemba