Baadhi ya wanamichezo wa shule za Sekondari wakipita kwa maandamano katika moja ya michuano ya UMISETA.
Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania taifa stars.
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk