Kikosi cha taifa stars kikiwa katika jezi ambazo zilizua utata kutokana na rangi ya jezi hizo kutoendana na rangi za bendera ya taifa
Golikipa wa Singida FG amefungiwa michezo 3 na faini ya shilingi milioni 1 kwa kosa la kuwafanyia vurugu Coastal Union
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.