
Kikosi cha timu ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam.
Kikosi cha Yanga ambacho kitaiwakilisha Tanzania katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika mwakani.

Mshambuliaji hatari wa Simba Mganda Hamis Kiiza akishangilia moja ya mabao yake.

Wachezaji wa Tanzania Mbwana Samata na Tomas Ulimwengu wanataraji kuja nchini na timu yao ya TP Mazembe ya Congo DR.

Kushoto kiungo mshambuliaji wa Simba Awadh Juma akishangilia goli lake akiwa na kiungo wa pembeni Simon Sserunkuma.

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga SC.
Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Canavaro'

Baadhi ya wachezaji wa Yanga wakishangilia goli katika moja ya michezo yao.