Charles Meshack Mkurugenzi wa Shirika la kuhifadhi misitu ya asili Tanzania(TFCG).
Wakina mama wajasiriamali wakiwa wanauza Korosho katika kituo kikubwa cha mabasi yaendayo Mikoani Mkoani Lindi
Katibu Mkuu wa Yanga Beno Njovu (kulia) akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu ya Yanga
Frank Domayo akisaini mkataba na klabu ya Azam