Rais Paul Kagame wa Rwanda, akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania, wakati kiongozi huyo alipowasili kwa ajili ya mkutano wa wakuu wa nchi zinazounda ukanda wa maendeleo wa kati jijini Dar es Salaam leo.
Sadio Mane alijiunga na Liverpool mwaka 2016 akitokea Southampton
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.