Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea jana wakati akitangaza uteuzi wa Mawaziri waliobaki baada ya uteuzi wa kwanza.
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.