Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe, Jenista Muhagama.
Timu zilizoshiriki hatua ya mchujo ambapo Dream Chaser waliovalia jezi nyeusi wakipambana na Temeke Heroes (nyeupe)
Kikosi cha timu ya soka ya Serengeti Boys.