Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Jordan Rugimbana akiongea na baadhi wa viongozi wa serikali waliohudhuria tukio hilo la uwashwaji wa Mwenge
Timu zilizoshiriki hatua ya mchujo ambapo Dream Chaser waliovalia jezi nyeusi wakipambana na Temeke Heroes (nyeupe)
Kikosi cha timu ya soka ya Serengeti Boys.