Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na mabingwa wa soka wa Mkoa wa Lindi , timu ya Namungo FC ya Ruangwa baada ya kukabidhiwa kombe.
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Tandari iliyopo Mkoani Morogoro Seleman Shemsanga
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.