Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na mabingwa wa soka wa Mkoa wa Lindi , timu ya Namungo FC ya Ruangwa baada ya kukabidhiwa kombe.
Aliewahu kuwa Waziri katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi,na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Marehemu Bi. Asha Bakari Makame