Rais Dkt. John Magufuli akipokea mfano wa hundi ya shilingi bilioni 2 kutoka kwa Viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013