Aliekua Mkurugenzi wa Manispaa hiyo ambae sasa anahamia Jiji la Dar es Salaam, Sipora Liana.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.