Mkuu wa mkoa wa Mara Kapteni Mstaafu wa jeshi la wananchi Aseri Msangi
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.