Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli akiwa na Rais Yoweri Museveni,Uhuru Kenyatta na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ally Mohammed Shein
Wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakimpokea Dada Neema Mwita Wambura (32) na kuanza mara moja kumfanyia tena uchunguzi wa afya yake katika majeraha aliyoyapata mara baada ya kumwagiwa uji wa moto uliokuwa ukichemka jikoni kitendo kilichofanywa na mume wake.