Baadhi ya mabondia wa timu ya taifa wakiwa katika mazoezi.
Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi ya Tanzania wakiwasili baada ya kutoka nje walikoenda kushiriki moja ya mashindano.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Martin Kasike.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016