Mkurugenzi wa Habari kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Zamaradi Kawawa (kushoto) akiwa na Meneja Mawasiliano wa Kituo cha Uwekezaji - TIC Bw. Daudi Riganda.
Mgombea Urais kuptia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, chini ya Mwamvuli wa UKAWA Mh. Edward Lowassa akizungumza na Mwenyekiti wa chama hicho Mh. Freeman Mbowe