Mwakilishi wa Kampuni ya Coca Cola Warda Kimaro(kushoto) akikabidhi vifaa vitakavyotumika kwenye mashindano ya Copa Coca Cola mwaka huu.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013